Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Mwanafunzi wa shule ya msingi Temboni Dar es salaam afariki Dunia baada ya kubakwa na vijana watatu na kumchoma kisu papo hapo na baadae kumpiga na tofali la kichwa na kutupa,mwili.wake kichakani ukiwa uchi wa mnyama,na leo ndo amezikwa .pichani wanafunzi wenzake wakiwa wamebeba jeneza kwenda kumzika

MWANAFUNZI SHULE YA MSINGI TEMBONI AFARIKI DUNIA KWA KUBAKWA

Comments