Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Hot Widget

recent/hot-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

KUMPIGIA KURA SALOME MONYO

habari watanzania!
Salome Monyo ni mshiriki wa Bull-BABES Tanzania,anatuwakilisha wasichana na watanzania wote
Ili aweze kushinda anahitaji kura yako na unaweza kumpigia kura mara nyingi uwezavyo kila siku na kila saa ili aweze kutoka na mpunga wa milioni kumi na mbili ili basi aweze kutimiza ndoto zake  zaidi na zaidi maana ndo anaanza kupambana na maisha 
namna ya kumpigia kura ni klick link ifuatayo
http://kileleland.com/bullbabes/profile1839
ahsanteni sana kwa kumfanya salome kuwa mshindi wetu

nuruyetufoundation

nuruyetu foundation ni shirika lisilo la kiserikali linaloendeshwa na mabinti wawili hapa hapa tanzania,,wakiwa na lengo la kusaidia wanawake na watoto kupata mahitaji muhimu,ila kwa sasa wamejikita zaidi katika zoezi zima la ukusanyaji nguo kwa ajili ya wasiojiweza na wenye uhitaji nazo,hivyo waeza kuwafollow kupitia instagram account yao ya (nuruyetufoundation)ili kupata taarifa zaidi,ahsanten

MJUE MWANAMITINDO ANAE SUMBULIWA NA TATIZO LA NGOZI

WINNIE HARLOW ni mwanamitindo ambae amejinyakulia umaarufu sana baada ya kuwa na muonekano wa tofauti katika ngozi yake,WINNIE
HARLOW ni binti mrembo aliejulikana kuwa na tatizo la ngozi alipokuwa na umri wa miaka MINNE,,na ugonjwa wake wa ngozi unaitwa VITILIGO,,ambao upo sehemu za uso na sehemu zingine za mwilini kwake hali iliyomfan
awe maarafu zaidi,, na kwa sasa ni balozi wa shirika mojawapo huko ispaniola,,AMA KWELI MGUU WA KUTOKA MUNGU KAUOMBEA,,KAZA BUTI WINNIE

RAIS MAGUFULI AAPISHWA KESHO

aliejinyakulia ushindi wa kura nyingi dhidi ya wapinzani wenzake wa vyama tofauti ikiwa ni pamoja na edward ngoyai lowassa, CHADEMA,Hashim rungwe CHAUMMA,,anna mghiraACT UZALENDO,,na wengineo,, kwa jina la JOHN POMBE MAGUFULI kupitia chama cha CCM,,ataapishwa mnamo kesho kama raisi wa JAMHURI YA MUUNGANO  WA TANZANIA KWA AWAMU YA TANO, japokuwa ushindani wake ulikua na malalamiko mengi sana kuwa kura zimeibwa,, mara hakustahili,, ila ndo kashapita na pongezi nyingi kwake,, 

NEW AUDIO:DOGO SCOPE---Chausiku


NEW AUDIO:PIZZO FT BERY K -am back

Mshindi wa miss Tanzania 2014 Sitti mtemvu avua taji la umiss Tanzania na kumpatia mshindi namba tatu ambaye alikuwa ni miss Arusha2014 Lilian Deusi,kwa hiyo miss Tanzania 2014 ni lilian deus

SITTI MTEMVU AVUA TAJI LA UMISS TANZANIA