BREAKING NEWZ; MADUKA KARIAKOO YAFUNGWA: SOMA HAPA===>
Picha hali Ilivyosasa kariakoo ambapo Wafanyabiashara wamefunga Maduka Yao ikidaiwa Kupinga matumizi ya mashine ya EFD..Hii ndo hali ilivyo asubuhi hii wafanyabiashara wa soko la kariakoo leo wamefunga maduka yao
Comments
Post a Comment