Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

JK AKUTANA NA MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)alipokutana na Rais Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali kuhusiana na tasnia hiyo jana.Rais Jakaya Kikwete akizungumza  na ujumbe wa mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia) Ikulu jijini Dar es Salaam jana.Rais Jakaya Kikwete akipitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi (kulia)IKULU Jijini Dar es Salaam jana. Mwenye suti ya bluu kushoto ni Makamu wa Rais wa Sheria Ngowi Brand Bw. Haki Ngowi ambaye pia ni blogger maarufu nchini.
Rais Jakaya Kikwete katika picha ya kumbukumbu  na Ujumbe wa  Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa pili kushoto) Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
(Picha na Freddy Maro)

Comments