Watoto wa Michael Jackson wazuru alipozaliwa baba yao kwa ajili ya tafrija ya miaka 56 tangu azaliwe baba yao
Watoto wa marehemu Mfalme wa Pop
duniani, Michael Jackson leo wametembelea kwenye mji aliozaliwa baba yao kufanya
tafrija ya miaka 56 tangu kuzaliwa kwa baba yao huyo.
Watoto hao watatu wa Michael; Paris, Prince na Blanket walitembelea Mji wa Gary, Indiana kwa ajili ya tafrija hiyo iliyowahusisha wanafamilia pek
Comments
Post a Comment