Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Watoto waoana huko Dodoma,,,katika mahojiano inasemekana tatizo ni kukosa elimu katika kijiji chao,,awali ya kuwa ni kitu kilichozoeleka mahali hapo..na tayar wameshaanza maisha ya ndoa na kupeana majukumu ambapo kazi kubwa ya bibi harusi ni kuchunga mifugo ya nyumbani ikiwa ni pamoja na ng'ombe

Comments