Ajali mbaya ya gari imetokea idaru,,ikiwa ni Gari la abiria Happy Nation likitoka Dar kwenda Arusha,,baada ya gari ndogo lililokuwa,likiendeshwa na baba na mtoto wake akiwa ndani ya gari kuingia chini ya basi la abiria na wote waliokuwa kwenye gari ndogo kufariki dunia papo hapo
Comments
Post a Comment