Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

MJUE MWANAMITINDO ANAE SUMBULIWA NA TATIZO LA NGOZI

WINNIE HARLOW ni mwanamitindo ambae amejinyakulia umaarufu sana baada ya kuwa na muonekano wa tofauti katika ngozi yake,WINNIE
HARLOW ni binti mrembo aliejulikana kuwa na tatizo la ngozi alipokuwa na umri wa miaka MINNE,,na ugonjwa wake wa ngozi unaitwa VITILIGO,,ambao upo sehemu za uso na sehemu zingine za mwilini kwake hali iliyomfan
awe maarafu zaidi,, na kwa sasa ni balozi wa shirika mojawapo huko ispaniola,,AMA KWELI MGUU WA KUTOKA MUNGU KAUOMBEA,,KAZA BUTI WINNIE

Comments