Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS MAGUFULI AAPISHWA KESHO

aliejinyakulia ushindi wa kura nyingi dhidi ya wapinzani wenzake wa vyama tofauti ikiwa ni pamoja na edward ngoyai lowassa, CHADEMA,Hashim rungwe CHAUMMA,,anna mghiraACT UZALENDO,,na wengineo,, kwa jina la JOHN POMBE MAGUFULI kupitia chama cha CCM,,ataapishwa mnamo kesho kama raisi wa JAMHURI YA MUUNGANO  WA TANZANIA KWA AWAMU YA TANO, japokuwa ushindani wake ulikua na malalamiko mengi sana kuwa kura zimeibwa,, mara hakustahili,, ila ndo kashapita na pongezi nyingi kwake,, 

Comments