Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

nuruyetufoundation

nuruyetu foundation ni shirika lisilo la kiserikali linaloendeshwa na mabinti wawili hapa hapa tanzania,,wakiwa na lengo la kusaidia wanawake na watoto kupata mahitaji muhimu,ila kwa sasa wamejikita zaidi katika zoezi zima la ukusanyaji nguo kwa ajili ya wasiojiweza na wenye uhitaji nazo,hivyo waeza kuwafollow kupitia instagram account yao ya (nuruyetufoundation)ili kupata taarifa zaidi,ahsanten

Comments