Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Ticker

6/recent/ticker-posts

Mwanafunzi wa shule ya msingi Tembon afariki.baada ya kubakwa na vijana watatu tofauti kisha kumchoma kisu na kumtupia tofali kichwani na kufariki papo hapo na baadae kuitupa maiti kichakani ikiwa uchi wa mnyama

MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI TEMBONI. DAR   AFARIKI DUNIA BAADA YA KUBAKWA

Mwanafunzi wa shule ya msingi Temboni Dar es salaam afariki Dunia baada ya kubakwa na vijana watatu na kumchoma kisu papo hapo na baadae kumpiga na tofali la kichwa na kutupa,mwili.wake kichakani ukiwa uchi wa mnyama,na leo ndo amezikwa .pichani wanafunzi wenzake wakiwa wamebeba jeneza kwenda kumzika

MWANAFUNZI SHULE YA MSINGI TEMBONI AFARIKI DUNIA KWA KUBAKWA

Ajali mbaya ya gari imetokea idaru,,ikiwa ni Gari la abiria Happy Nation likitoka Dar kwenda Arusha,,baada ya gari ndogo lililokuwa,likiendeshwa na baba na mtoto wake akiwa ndani ya gari kuingia chini ya basi la abiria na wote waliokuwa kwenye gari ndogo kufariki dunia papo hapo

AJALI MBAYA YA GARI LATOKEA IDARU

Msanii wa bongo fleva Side Boy aliyetamba na wimbo wa kuwa uyone aliyoimba na Ally Kiba na mwingine Usimdharau usiyemjua ,,na ingine kabla hujafa ujaumbika,,,Amefariki leo katika hospitali ya Nyangao iliyoko Lindi baada ya kugua ugonjwa.wa TB Yamifupa,,Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema Peponi,,Amin

MSANII WA BONGO FLEVA ,SIDE BOY AFARIKI DUNIA LEO

Mwanamke mwenye ngozi ya chui aliyewahi kutokea miaka 1834 alikuwa ni mwanadada wa Kiafrika ni miongoni mwa watu waliosafirishwa barani Ulaya kwa utumwa,,,na kabla ya kifo chake alimzaa mtoto wake wa kike aitwae LOUISE aliyemrith mama yake ngozi hiyo ya CHUI

MJUE MWANAMKE WA KWANZA DUNIANI ALIYEZALIWA NA NGOZI YA CHUI

Je wajua!!mji mkuu HONGKONG ndo jina peke la mji pekee DUNIANI unaoweza kulitamka bila kuchezesha ulimi na pia bila mdomo kupepesa???